PATA HABARI/MAKALA ZA UHAKIKA

+255-767-402-396

Wanafunzi watatu wa Lucky Vicent wapata mapokezi makubwa Moshi



Wanafunzi watatu wa Shule ya Lucky Vincent walionusurika katika ajali na kwenda kutibiwa Marekani wamerejea nchini na kupata mapokezi makubwa katika uwanja wa ndege wa KIA Moshi.
Wanafunzi hao  ni Sadia  Ismail, Dorene Mashana na Wilson Tarimo  walikwenda kutibiwa kwa msaada wa Shirika la Samaritan iliyoko Marekani kwa ushirika wa Waziri Lazaro Nalandu

Ajili hiyo ilitokea  mei sita mwaka huu eneo la Lotya mkoa wa Arusha. Katika ajali hiyo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja walipoteza maisha.  
Share on Google Plus

About Unknown

0 comments: